Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aziz Ki amalizana na Yanga

Hersi Na Aziz Ki Aziz Ki na Hersi

Mon, 17 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Taarifa za kuaminika zinaeleza kuwa kiungo wa Yanga SC, Stephan Aziz Ki amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga ndani ya Jangwani.

Nyota huyo amesaini mkataba huo hapo jana mbele ya wakala wake bwana Zambro Traore na rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said.

Kwa sasa nyota huyo anaelekea mapumzikoni na atarejea klabuni hapo Kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live