Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki amechaguliwa na Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Oktoba 2023 baada ya kuwashinda Moses Phiri wa Simba SC na Max Nzengeli kutoka Yanga SC alioingia nao fainali ya mchakato wa tuzo hizo za mwezi.
Mchezaji wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki amechaguliwa na Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Oktoba 2023 baada ya kuwashinda Moses Phiri wa Simba SC na Max Nzengeli kutoka Yanga SC alioingia nao fainali ya mchakato wa tuzo hizo za mwezi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: