Fri, 2 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshindi wa tuzo ya Mchezaji Bora wa NBC Premier League 2023/24 kiungo wa Yanga SC Stephane Aziz Ki amepewa zawadi ya kwenda Dubai kukaa siku 4 akiwa na mwenza wake.
Aziz Ki ametwaa tuzo tatu katika usiku wa tuzo za TFF (NBC PL)
1: Mfungaji bora
2: Kiungo bora
3: Mchezaji bora.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live