Wed, 24 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso ndiye anaongoza kufunga mabao kwa mguu wa kushoto katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso ndiye anaongoza kufunga mabao kwa mguu wa kushoto katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Aziz KI amejiunga na Yanga Dieisha kubwa la usajili lililopita akitokea klabu ya ASEC Mimosas ya nchini Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: