Bao la Kiungo wa Yanga SC Stephanie Aziz Ki alilofunga dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika katika dimba la Benjamin Mkapa mnamo Mei 10, 2023 limechaguliwa kuwa goli bora la wiki la michuano ya kombe la Shirikisho Afrika.
Bao la Kiungo wa Yanga SC Stephanie Aziz Ki alilofunga dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika katika dimba la Benjamin Mkapa mnamo Mei 10, 2023 limechaguliwa kuwa goli bora la wiki la michuano ya kombe la Shirikisho Afrika.