Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aziz KI anachukua kiatu cha mfungaji Bora Ligi Kuu?

Aziz KI 9 Goals Kiungo wa Yanga, Stephane Aziz KI

Sun, 17 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Tangu alipoondoka Feisal Salum kwenye kikosi cha Young Africans kiungo mshambuliaji raia wa Burkina Faso, Aziz Ki amekuwa na kiwango bora sana akiwa kwenye jezi za wananchi Yanga.

Msimu huu katika michezo kumi (10) aliyocheza amefunga jumla ya magoli tisa (9) na ndio kinara wa upachikaji wa magoli hadi hivi sasa kwenye Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.

Akiendelea na moto huo anaweza kuwa mfungaji bora ila asipate majeraha.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: