Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo fundi wa Mpira,Stephanie Aziz Ki ameitwa kwenye Kikosi cha wachezaji 25 wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso kitakachocheza Mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia la mwaka 2026 dhidi ya Ethiopia na Guinea Bissau.
Kiungo fundi wa Mpira,Stephanie Aziz Ki ameitwa kwenye Kikosi cha wachezaji 25 wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso kitakachocheza Mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia la mwaka 2026 dhidi ya Ethiopia na Guinea Bissau.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live