Sat, 18 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la shirikisho baada ya kuwakanda Coastal Union ya Tanga 3-0
Mchezaji Abdul Selemani Sopu aliwaadhibu waajiri wake wa zamani kwa kufunga mara mbili na kutengeneza moja kwa Feisal Salum kwenye ushindi huo
Azam FC sasa wanamsubiri mshindi kati ya Yanga SC na Ihefu kwenye fainali
Chanzo: www.tanzaniaweb.live