Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho za kumsajili moja kwa moja golikipa wake,Mohamed Mustapha ambaye yupo Klabuni hapo kwa Mkopo akitokea Al Mereikh
Uongozi wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho za kumsajili moja kwa moja golikipa wake,Mohamed Mustapha ambaye yupo Klabuni hapo kwa Mkopo akitokea Al Mereikh Mustapha alisaini mkataba wa miezi 6 na Azam ila baada ya kufurahishwa na kiwango chake wanataka kumsajili moja kwa moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: