Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Azam umeanza mazungumzo na Mlinda lango wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Polisi Kenya Patrick Matasi.
Uongozi wa klabu ya Azam umeanza mazungumzo na Mlinda lango wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Polisi Kenya Patrick Matasi. Chanzo Chetu kilithibitisha kuwa , Patrick Matasi ambaye kandarasi yake inatamatika mwishoni mwa Msimu huu bado hajaonyesha nia ya kuongeza kandarasi na Waajiri wake hao na tayari zipo taarifa zikithibitisha kuwa mwishoni mwa msimu huu anaweza kujiunga na klabu ya Azam endapo mazungumzo yataenda sawa kama walivyoanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live