Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hakuna Kiingilio Azam Complex! Njoo uishuhudie klabu bora kabisa ikifanya yake kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United leo Agosti 16 majira ya saa moja usiku.
Hakuna Kiingilio Azam Complex! Njoo uishuhudie klabu bora kabisa ikifanya yake kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United leo Agosti 16 majira ya saa moja usiku. Wale wenye Jezi mpya za Azam FC au ya msimu wowote, watapewa kipaumbele kukaa majukwaa ya VIP.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live