Thu, 11 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Azam FC inatarajia kucheza mechi yao ya kwanza ya maandalizi ya msimu mpya 2024/25 dhidi ya Zimamoto ya Zanzibar, itakayofanyika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kesho Ijumaa saa 10.15 jioni.
Azam FC inatarajia kucheza mechi yao ya kwanza ya maandalizi ya msimu mpya 2024/25 dhidi ya Zimamoto ya Zanzibar, itakayofanyika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kesho Ijumaa saa 10.15 jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live