Sat, 22 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
KLABU ya Mpira wa Miguu Azam FC imenyakua pointi tatu muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4 bila dhidi ya Tanzania prisons katika uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga.
KLABU ya Mpira wa Miguu Azam FC imenyakua pointi tatu muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4 bila dhidi ya Tanzania prisons katika uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga. Magoli ya Azam yalifungwa na Tepsie 27’, Ismail 69’, Ajibu 71’ na Zulu 83’.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live