Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam FC na Singida Black Stars zipo kwenye vita ya kuwania saini ya Mshambuliaji wa Kimataifa wa Kenya na Klabu ya Gor Mahia, Benson Ochieng (22) kwaajili ya kumsajili kwenye dirisha kubwa.
Klabu ya Azam FC na Singida Black Stars zipo kwenye vita ya kuwania saini ya Mshambuliaji wa Kimataifa wa Kenya na Klabu ya Gor Mahia, Benson Ochieng (22) kwaajili ya kumsajili kwenye dirisha kubwa. Ochieng ndiye kinara wa magoli Ligi Kuu Kenya akiwa na magoli 12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live