Fri, 30 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam imetangaza kuachana na wachezaji Ahmed Salula na Shaaban Chilunda.
Kupitia kurasa zake rasmi Azam imesema: “#ThanksYou Ahsanteni sana kwa utumishi wenu uliotukuka ndani klabu yetu.Tunawatakia kila la kheri katika maisha yenu mapya ya soka, popote muendapo. Thank you @ahmed_salula x @chilunda43!????.”
Ahmed Salula alisajiliwa Azam Agosti 3, 2021 akitokea KMKM ya Zanzibar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live