Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, klabu ya Azam FC imeachana na beki wake wa kati Yvan Mballa.
Matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, klabu ya Azam FC imeachana na beki wake wa kati Yvan Mballa. Mballa alijiunga na Azam FC msimu uliopita akitokea Forest Rangers ya Zambia, kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live