Sun, 8 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Azam FC imemtangaza Rachid Taoussi raia wa Morocco kuwa Kocha Mkuu mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Azam FC imemtangaza Rachid Taoussi raia wa Morocco kuwa Kocha Mkuu mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja. Taoussi, ameenda na wasaidizi wake watatu, Kocha msaidizi, Ouajou Driss, Kocha wa utimamu wa mwili, Badr Eddine na Kocha wa makipa, Rachid El Mekkaoui.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live