Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Azam FC yampa 'Thank you' Idris Mbombo

IMG 4501 Idriss Mbombo.jpeg Idris Mbombo

Sat, 6 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Azam FC imetangaza kuachana na mshambuliaji Idris Mbombo (27) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Taarifa ya Azam FC kwenye mitandao ya kijamii imesema “Thank You Idris Mbombo”.

Mbombo alijiunga na Azam FC mnamo Julai 31 2021 akitokea El Gouna FC ya Misri.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live