Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Azam FC leo asubuhi kimeingia Jijini Mwanza tayari kwa pambano lao la Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB.
Kikosi cha Azam FC leo asubuhi kimeingia Jijini Mwanza tayari kwa pambano lao la Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB. Kikosi hicho kimeenda Jijini humo kwa ajili ya pambano lao dhidi ya Coastal Union litakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini humo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live