Mon, 4 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Azam FC wamefanikiwa kuifikia Yanga SC kileleni baada ya kushinda 4-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC.
⚽️ 29” Lyanga ⚽️ 62” Feisal ⚽️ 64” Feisal ⚽️ 69” Kipre
⚽️ 84” Martin (p)
Baada ya ushindi huo, Azam imefikisha alama 43 na kuwafikia Yanga ambao bado wapo kileleni kwa tofauti ya goli moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live