Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Azam FC kimewasili Kigoma kwaajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashaujaa kesho Jumatano katika Uwanja wa Lake Tanganyika saa 10:00 jioni.
Azam F imepoteza michezo yake miwili iliyopita dhidi ya Yanga ambapo walikubali kichapo cha magoli 3-2 kisha wakapoteza mbele ya Namungo Uwanja wa Chamazi kipigo cha mabao 3-1.
Je kesho wanatoka?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: