Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam FC yenye maskani yake Jijini Dar es Salaam imetibitisha kushiriki michuano ya Kombe la Muungano 2024.
Kupitia taarifa Rasmi ya Klabu, Azam imeandika;
"Tunathibitisha tutakuwa sehemu ya timu zitakazoshiriki michuano ya Kombe la Muungano, itakayoanza kutimua vumbi kuanzia Aprili 23 hadi 27, 2024, visiwani Zanzibar".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live