Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa kitengo cha Habari Azam FC, Zaka Zakazi amefunguka kuwa hivi karibuni walipokea ofa kutoka Real Madrid wakimuhitaji Kipre Jr.
Zaka amefunguka hayo jana baada ya timu yake ya Azam FC kumshushia kipigo kizito KMC 5-0.
"Huyu Kipre kumtaka watamtaka wengi, hivi karibuni tulipokea ofa ya Real Madrid lakini tuliikataa. Ndio Real Madrid ile yenyewe ya Hispania," alisema Zaka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live