Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam FC imemtambulisha beki wa kati, Yeison Fuentes (21) ambaye imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka Leones FC ya kwao, Colombia.
Klabu ya Azam FC imemtambulisha beki wa kati, Yeison Fuentes (21) ambaye imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka Leones FC ya kwao, Colombia. Huyo anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa kutoka Colombia, baada ya mshambuliaji Franklin Navarro (24) iliyemsajili kutoka Cortuluá FC ya Daraja la Pili nchini kwao, Colombia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: