Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Raja Club Casablanca ya nchini Morocco imefungiwa kufanya Usajili na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Raja hawakulipa asilimia ya malipo kutoka kwenye mauzo ya mchezaji wa zamani wa Teungueth FC Djibril Syllah kwenda Azam FC.
Raja hawataruhusiwa kufanya Usajili hadi malipo yatakapofanyika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live