Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Azam FC imeanza michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa sare ya bila mabao na mabingwa watetezi na wenyeji, Mlandege FC katika mchezo wa Kundi A jana Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Timu ya Azam FC imeanza michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa sare ya bila mabao na mabingwa watetezi na wenyeji, Mlandege FC katika mchezo wa Kundi A jana Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo wa Kundi C ulifuatia Saa 2:15 usiku baina ya Vital’O ya Burundi na wenyeji, Chipukizi hapo hapo Uwanja wa New Amaan Complex kukamilisha Michezo ya siku ya ufunguzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live