Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam imeambulia sare ya bao 1-1 na na Klabu ya Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan kwenye mchezo wao kirafiki uliopigwa jana katika Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Klabu ya Azam imeambulia sare ya bao 1-1 na na Klabu ya Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan kwenye mchezo wao kirafiki uliopigwa jana katika Dimba la Azam Complex, Chamazi. Al Hilal ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Albert Kangwanda dakika ya 27 kabla ya Azam kusawadhisha dakika ya 80 kupitia kwa Idd Nado.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live