Thu, 6 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya Azam imetangaza ya kwamba itaanza rasmi kambi yake ya kujiandaa kwa ajili ya msimu ujao Julai 9 mpaka Julai 30, 2023.
Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo kambi itakuwa katika mji wa Sousse nchini Tunisia.
Azam FC wamefanya usajili mkubwa kuimarisha kikosi chao kwa lengo la kufanya vyema msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live