Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Timu ya Azam FC umeweka wazi kuwa mikakati yao kuelekea mwisho wa msimu ni kuhakikisha kupambania ubingwa wa Ligi Kuu au kumaliza katika nafasi tatu za juu ya msimamo wa Ligi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 13, 2024 Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim.
Popat amesema bado wana mechi kumi mkononi hivyo bado wapo kwenye mbio za ubingwa huku wanajua ligi ngumu na watahakikisha timu yao inaendelea kufanya vizuri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live