Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Besiktas imesitisha mkataba na nyota wake kiungo Emirhan Delibas baada ya kukuta wasifu wake kwenye mtandao wa ngono.
Klabu ya Besiktas imesitisha mkataba na nyota wake kiungo Emirhan Delibas baada ya kukuta wasifu wake kwenye mtandao wa ngono. Uongozi wa klabu ya Besiktas umesikitishwa sana na kitendo hicho huku wakiamini kile alichokifanya nyota huyo ni kuichafua taswira ya klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live