Fri, 18 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa klabu ya Yanga, Khalid Aucho ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Uganda.
Aucho (29) amewashinda golikipa wa Mamelodi Sundowns, Dennis Masinde Onyango (37) na mshambuliaji wa Vipers Yunus Sentamu (28).
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Aucho amewapongeza wote waliompigia kura na kumpa ushindi huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live