Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo fundi wa Yanga SC, Khalid Aucho ameshaanza mazoezi mepesi baada ya upasuaji mdogo wa goti lake la kushoto.
Kiungo fundi wa Yanga SC, Khalid Aucho ameshaanza mazoezi mepesi baada ya upasuaji mdogo wa goti lake la kushoto. Aucho Anaendelea Vizuri na anaweza Kuwa Sehemu ya Kikosi Cha Yanga SC Katika mchezo wa pili wa robo fainali ya CAFCL dhidi ya Mamelodi Sondowans kati ya April 5 na 6.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: