Wed, 1 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Atletico Madrid imefikia makubaliano ya masharti binafsi ya kumsajili bure mlinzi wa kati wa Leicester City, Caglar Soyuncu (26) pindi mkataba wake Leicester City utakapofikia tamati mwisho wa msimu huu.
Atletico Madrid imefikia makubaliano ya masharti binafsi ya kumsajili bure mlinzi wa kati wa Leicester City, Caglar Soyuncu (26) pindi mkataba wake Leicester City utakapofikia tamati mwisho wa msimu huu. Liverpool ilikuwa na nia ya kumsajili bure nyota huyo raia wa Uturuki mwisho wa msimu lakini dili hilo limeota mbawa na sasa nyota huyo ataelekea Uhispania mwisho wa msimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live