Thu, 23 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa, Chelsea ililipa paundi milioni 21.5 kama fungu la kuvunja mkataba wa Graham Potter kutoka Brighton.
Kwa mujibu wa taarifa, Chelsea ililipa paundi milioni 21.5 kama fungu la kuvunja mkataba wa Graham Potter kutoka Brighton. Inatajwa inaweza kuwa dau kubwa kabisa kuwai kulipwa ili kuvunja mkataba wa kocha kutoka timu moja kwenda nyingine.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live