Klabu ya Arsenal ina mpango wa kuachana na nyota wake Gabriel Jesus msimu ujao kutokana na hali ya majeraha ambayo yamekuwa yakimuandama mara kwa mara jambo ambalo msimu huu limemfanya akose michezo takribani 16 ya klabu hiyo.
Klabu ya Arsenal ina mpango wa kuachana na nyota wake Gabriel Jesus msimu ujao kutokana na hali ya majeraha ambayo yamekuwa yakimuandama mara kwa mara jambo ambalo msimu huu limemfanya akose michezo takribani 16 ya klabu hiyo. Arsenal ipo kwenye mazungumzo na nyota wa klabu ya Newcastle Aleksander Isak raia wa Sweden kama mbadala wa Gabriel Jesus ikiwa tu dili la Ivan tooney litazimika.