Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Arsenal wanaweza kumruhusu kiungo wa kati wa Ureno Fabio Vieira kujiunga na Marseille kwa mkopo mwezi Januari.
Arsenal wanaweza kumruhusu kiungo wa kati wa Ureno Fabio Vieira kujiunga na Marseille kwa mkopo mwezi Januari. Fabio Vieira amekuwa na wakati mgumu kupata namba katika kikosi cha Arsenal kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live