Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Arsenal Mikel Arteta ameshtakiwa kwa kukiuka sheria ya FA E3.1 kutokana na Kutoa maoni yake baada ya mchezo dhidi ya Newcastle ambapo Arsenal alipoteza kwa kufungwa bao moja kwa sifuri.
Arteta anadaiwa maoni yake ni utovu wa nidhamu na ni matusi kwa wasimamizi wa mechi yanaharibu mchezo.
Ana hadi tarehe 21 Novemba kujibu shtaka hili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live