Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa Arsenal Mikel Arteta, ametumia zaidi ya Tsh. trilioni 2 kwa miaka mitano kukinoa kikosi hicho na akifanikiwa kutwaa ubingwa wa FA na ngao ya hisani mara mbili.
Kocha Mkuu wa Arsenal Mikel Arteta, ametumia zaidi ya Tsh. trilioni 2 kwa miaka mitano kukinoa kikosi hicho na akifanikiwa kutwaa ubingwa wa FA na ngao ya hisani mara mbili. Je atafanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu Uingereza msimu huu ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live