Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta ameutaka Uongozi wa Klabu hiyo kuhakikisha wanafanikiwa Kupata Saini ya Kiungo wa Kimataifa wa Ureno na klabu ya Fulham, João Palhinha ambaye tayari amehusishwa Kujiunga na FC Bayern Munich.
Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta ameutaka Uongozi wa Klabu hiyo kuhakikisha wanafanikiwa Kupata Saini ya Kiungo wa Kimataifa wa Ureno na klabu ya Fulham, João Palhinha ambaye tayari amehusishwa Kujiunga na FC Bayern Munich.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live