Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mikel Arteta ameteuliwa kuwa KOCHA Bora wa Mwezi Februari wa Ligi Kuu ya Uingereza.
Arteta ameshinda tuzo hiyo kwa mara ya saba katika maisha yake ya ukocha akiwapiku Pep Guardiola na Erik Ten Hag
Rekodi za Arsenal katika mwezi Februari ni kama zifuatazo
Michezo 4
Ushindi 4
Magoli 18 yamefungwa
Magoli 2 ya aliyofungwa na timu yake
Chanzo: www.tanzaniaweb.live