Mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Ferdinand anaamini kuwa kocha wa #Arsenal #MikelArteta anaweza kujiunga na Man U endapo #ManUnited watamuwekea dau . Akizungumza kupitia YouTube channel yake "5 Magazine" Rio amesema kuwa "Sisemi kwamba inatokea sasa hivi lakini naamini kama kama Ten Hag akiachwa au akienda Bayern Munich na uongozi wa Man U ukamchagua Arteta kurithi kiti chake niaminini Arteta ataiaga Arsenal"
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Ferdinand anaamini kuwa kocha wa #Arsenal #MikelArteta anaweza kujiunga na Man U endapo #ManUnited watamuwekea dau . Akizungumza kupitia YouTube channel yake "5 Magazine" Rio amesema kuwa "Sisemi kwamba inatokea sasa hivi lakini naamini kama kama Ten Hag akiachwa au akienda Bayern Munich na uongozi wa Man U ukamchagua Arteta kurithi kiti chake niaminini Arteta ataiaga Arsenal"