Taarifa kutoka nchini England zinadi kuwa Klabu ya Arsenal sasa wanataka kumnunua kiungo wa kati wa Real Madrid Aurelien Tchouameni ambaye atagharimu takriban £85m lakini pia kuna chaguo la kumchukua lwa mkopo kisha kumnunua Januari /Msimu ujao (hii itasababisha arsenal kuwa na nafasi ya kumnunua lakini pia kuuza wachezaji wakubwa kwanza.
Taarifa kutoka nchini England zinadi kuwa Klabu ya Arsenal sasa wanataka kumnunua kiungo wa kati wa Real Madrid Aurelien Tchouameni ambaye atagharimu takriban £85m lakini pia kuna chaguo la kumchukua lwa mkopo kisha kumnunua Januari /Msimu ujao (hii itasababisha arsenal kuwa na nafasi ya kumnunua lakini pia kuuza wachezaji wakubwa kwanza. Tchouameni amekuwa na wakati mgumu kupata namba katika kikosi cha Real Madrid huku miamba hiyo ikiongeza baadhi yanyota katika kikosi chake kama Jude Bellingham.