Fri, 16 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amechaguliwa kuwa Meneja Bora wa Mwezi Agosti katika Ligi Kuu ya Uingereza.
The Gunners wako kileleni mwa jedwali la ligi baada ya kuanza vyema msimu huu.
Ni mara ya tatu kwa Arteta kushinda tuzo hiyo , mayaji mengine akiyapata msimu uliopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live