Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Arsenal yapiga mtu kipigo kizito

Skysports Arsenal Chelsea Premier League 6531141 Arsenal

Sat, 4 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Washika mitutu wa London, Arsenal wameendeleza matumaini yao ya kutwaa taji la ligi kuu ya kandanda nchini England baada ya kuiangushia kipondo AFC Bournemouth kwa kuwakanda 3-0 katika mchezo wa muendelezo wa ligi hiyo

Ushindi huo umeifanya Arsenal kufikisha alama 83 kileleni kwenye msimamo baada ya michezo 36, huku wakiendeleza dua mbaya kwa Manchester City walio katika nafasi ya pili na alama 79 baada ya michezo 34.

Arsenal imebakiza michezo miwili kutamatisha ligi hiyo ambapo watasafiri kuwafuata Manchester United Old Trafford na kisha kumalizia nyumbani dhidi ya Everton

Wakati Man City wao wakisaliwa na michezo minne.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live