Fri, 25 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji saba wa Klabu ya Arsenal wamefunguliwa mlango wa kutokea na Kocha Mikel Arteta.
Kulingana na Evening Standard (@EveningStandard), Arsenal wanatazamia kuwaachia wachezaji kama saba wiki ijayo.
Wachezaji hao ni pamoja na;
Kieran Tierney
Sambi Lokonga
Rob Holding
Cedric
Nuno Tavares
Folarin Balogun
Nicolas Pepe
The Gunners wanaweza kupata kiasi cha £100m kutokana na mauzo ya wachezaji hawa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live