Fri, 19 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal imetuma mascouts AFCON kwenda kufuatilia vipaji licha ya kuwa target yao ya kwanza ni kwa mlinzi wa Ivory Coast Ousmane Diomande.
Klabu ya Arsenal imetuma mascouts AFCON kwenda kufuatilia vipaji licha ya kuwa target yao ya kwanza ni kwa mlinzi wa Ivory Coast Ousmane Diomande. Diomande mwanzoni mwa mwezi January aliwahi kuhusishwa na Chelsea pamoja na Real Madrid lakini hakuna dili lililokamilika hadi sasa
Chanzo: www.tanzaniaweb.live