Sat, 4 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Arsenal imetoka nyuma 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya AFC Bournemouth katika dimba la Emirates huku ikifikisha alama 63 baada ya mechi 26.
Washika Mitutu wapo kileleni mwa msimamo wa #EPL alama 5 mbele ya Bingwa mtetezi, Manchester City iliyopo nafasi ya pili.
Mabao ya Arsenal mtanange wa leo yamefungwa na T. Partey, B. White na R. Nelson aliefunga bao la ushindi dakika za jioni.
Mabao ya AFC Bournemouth yamefungwa na P. Billing na M. Senesi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: