Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal inaripotiwa kufanya Mawasiliano na kiungo wa klabu ya Everton raia wa Ubelgiji Amadou Ba Zeud Mvom Georges Onana Ili wamsajli katika dirisha kubwa la usajili, wa
Klabu ya Arsenal inaripotiwa kufanya Mawasiliano na kiungo wa klabu ya Everton raia wa Ubelgiji Amadou Ba Zeud Mvom Georges Onana Ili wamsajli katika dirisha kubwa la usajili, wa Onana anaonekana kuwa mbadala sahihi wa Thomas Partey endapo ataondoka klabuni hapo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live