Mon, 27 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal ni moja kati ya klabu kadhaa zinazoisaka sahihi ya Willfred Gnonto mwenye umri wa miaka 19 anayekipiga katika klabu ya Leeds United,
Arsenal imeaonekana kufurahishwa na kiwango cha Gnonto na kutaka kumsajili mshambuliaji huyo wa kitaliano ifikapo majira ya joto,
Gnonto amecheza mechi 20 na kufunga mabao 4 katika klabu ya Leeds United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: