Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Washika mitutu wa London, Timu ya Arsenal inaingia mwezi Disemba ikiwa kinara wa Ligi kuu ya England.
Arsenal wako kileleni na alama zao 30, wakifuatiwa na Man City wenye alama 29 kisha Liverpool katika nafasi ya tatu wakiwa na alama 28.
Mechi tano zijazo za Arsenal katika EPL.
wolves (H)
Luton town (A)
Aston Villa (A)
Brighton (H)
Liverpool (A)
Je, unadhani Arsenal wanaweza kupata pointi ngapi kati ya pointi 15 ? Au zote
Chanzo: www.tanzaniaweb.live